Wafanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiwa katika zoezi la kuondoa Kontena la Taka lililojaa katika eneo la maisara na kuweka jengini ili kuwe mazingira mazuri ya eneo hilo. Kama lilivykutwa na Mpiga picha wetu akiwa katika mizungumko ya mitaani Unguja.
MANISPAA YA UBUNGO YATENGA MILIONI 28 KWA AJILI UTEKELEZAJI WA PJT-MMMAM
-
NA MWANDISHI WETU
MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28,000,000
kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Maku...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment