Wafanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiwa katika zoezi la kuondoa Kontena la Taka lililojaa katika eneo la maisara na kuweka jengini ili kuwe mazingira mazuri ya eneo hilo. Kama lilivykutwa na Mpiga picha wetu akiwa katika mizungumko ya mitaani Unguja.
BUNGE LA 13 LAUNDA KAMATI 17, UPINZANI WAPENYA HUKU WANAWAKE WAKIWA WENGI
ZAIDI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Bunge la 13 limeunda jumla ya Kamati 17 huku wanawake wengi wakichomoza
kuongoza kamati hizo, Wabunge wa upinzani wa ...
3 hours ago


0 Comments