Wafanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiwa katika zoezi la kuondoa Kontena la Taka lililojaa katika eneo la maisara na kuweka jengini ili kuwe mazingira mazuri ya eneo hilo. Kama lilivykutwa na Mpiga picha wetu akiwa katika mizungumko ya mitaani Unguja.
MSAFARA WA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA 2025 WAANZA RASMI KUTOKA DAR ES SALAAM
-
Dar es Salaam, Julai 2, 2025
Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini
Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya ...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment