Msongamano wa magari katika barabara ya Mji Mkongwe Zanzibar wakati wa mchana huu zikiwa katika msongamano ambao kwa kiasi kikubwa umesababishwa na kuanze ujenzi wa jengo la Ajabu pamoja na bara bara ya Mji Mkongwe kuwa ni ya njia moja tu - One Way Traffic
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment