Msongamano wa magari katika barabara ya Mji Mkongwe Zanzibar wakati wa mchana huu zikiwa katika msongamano ambao kwa kiasi kikubwa umesababishwa na kuanze ujenzi wa jengo la Ajabu pamoja na bara bara ya Mji Mkongwe kuwa ni ya njia moja tu - One Way Traffic
WASIRA: Nchi Ipo Salama Waambieni Watanzania Wakapige Kura *Amesisitiza
kuchagua viongozi sahihi *Kura za urais apewe Dk. Samia wa CCM
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira akizungumza na
viongozi wa CCM wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu,Oktoba 18, 2025.
Na Mwandishi Wetu, ...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment