Msongamano wa magari katika barabara ya Mji Mkongwe Zanzibar wakati wa mchana huu zikiwa katika msongamano ambao kwa kiasi kikubwa umesababishwa na kuanze ujenzi wa jengo la Ajabu pamoja na bara bara ya Mji Mkongwe kuwa ni ya njia moja tu - One Way Traffic
MCHENGERWA AAHIDI KUONGEZA USHIRIKIANO NA TAMISEMI KWENYE AFYA, APEWA MAUA
YAKE AKIAGWA LEO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Waziri Mteule wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amemhakikishia Waziri
wa Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment