Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (Gavu) akisalimiana na Waziri wa Nchi Ushirikiano wa Kimataifa wa Serikali ya Nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Bibi Reem Ibrahim Alhashimy alipofika katika viwanja vya Park Hyatt Hotel kuungana na ujumbe wa timu ya Wataalam 16 wa Umoja wa Nchi za Falme ya Kiarabu (UAE) uliofika Nchini kufuatia ziara ya Rais wa Zanzibar aliyoifanya mwanzoni kwa Mwaka huu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (Gavu) (wa pili kushoto) akiwa na Viongozi mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika kikao cha siku moja na Ujumbe wa timu ya Wataalam 16 wa Umoja wa Nchi za Falme ya Kiarabu (UAE) ukiongozwa na Waziri wa Nchi Ushirikiano wa Kimataifa wa Serikali ya Nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Bibi Reem Ibrahim Alhashimy (kulia) katika ukumbi wa mikutano wa Park Hyatt Hotel leo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (Gavu) (wa pili kulia) akiwa na Viongozi Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Nd,Salum Maulid Salum,Mshauri wa Rais Ushirikiano wa Kimataifa Fedha na Uchumi Mhe.Mohamed Ramia Abdiwawa na Katibu wa Rais Nd,Haroub Shaibu Mussa, wakiwa katika kikao na Ujumbe wa timu ya Wataalam 16 wa Umoja wa Nchi za Falme ya Kiarabu (UAE) katika ukumbi wa mikutano wa Park Hyatt Hotel leo, [Picha na Ikulu.] 09/08/2018.
No comments:
Post a Comment