MENEJA wa kamapuni ya Kizalendo ya Tanzania MECCO Nassor Ramadhan, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhiwa barabara ya Wawi Mabaoni yenye urefu wa kilomita 3 inayojengwa na serikali, makabidhiwano hayo yalishuhudiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Mustafa Aboud Jumbe wa kwanza kutoka kushoto
KATIBU mkuu wizara ya ujenzi Mawasiliano na usafirishaji Zanzibar Mustafa Aboud Jumbe, akikagua athari za mvua za masika zilizotokea mwaka jana katika eneo la Mungu Yupo katika barabara ya mkoani chake chake
KATIBU mkuu wizara ya ujenzi Mawasiliano na usafirishaji Zanzibar Mustafa Aboud Jumbe, akimuonyesha picha za athari za mvua kubwa zilizonyesha mwaka jana na kuathiri barabara ya mkoani chake chake katika eneo la Mungu Yupo Mkoani, Mkurugenzi mipango Sera na utafiti Khatib Mohamed Khatib, wakati alipokagua barabara hiyo(PICHA NA ABDI SULEIAN, PEMBA)
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment