Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud Mohammed alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu Kisiwandui kuhudhuria hafla ya kisomo cha Hitma kumuombea Marehemu Mzee Abeid Amani Karume.
UJENZI WA CHUO KIKUU MZUMBE KAMPASI YA TANGA WASHIKA KASI
-
Msimamizi wa Mradi upande wa Mkandarasi (Dimetoclasa Real Hope Limited)
Mhandisi John Bhoke akieleza kuhusu hali ya maendeleo ya ujenzi wa Kampasi
mpy...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment