Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, Ashiriki Katika Kisoma cha Dua na Hitma Kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanziubar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume Afisi Kuu ya CCM Zanzibar Leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud Mohammed alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu Kisiwandui kuhudhuria hafla ya kisomo cha Hitma kumuombea Marehemu Mzee Abeid Amani Karume.










No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.