Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud Mohammed alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu Kisiwandui kuhudhuria hafla ya kisomo cha Hitma kumuombea Marehemu Mzee Abeid Amani Karume.
TUGHE yapongeza kiwango cha utendaji kazi cha PURA kwa mwaka 2024/25
-
Naibu Katibu Mkuu TUGHE Taifa, Ndg. Amani Msuya ameeleza kuvutiwa na
kiwango cha utendaji kazi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli
(PURA) kwa m...
39 minutes ago

No comments:
Post a Comment