Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud Mohammed alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu Kisiwandui kuhudhuria hafla ya kisomo cha Hitma kumuombea Marehemu Mzee Abeid Amani Karume.
KAPINGA: TAASISI ZIFANYE TAFITI BUNIFU ILI KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
-
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), amezisisitiza
taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kufanya tafiti zenye tija ili kuongeza
ajira kwa ...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment