Wananchi Kisiwani Pemba wakiwa katika harakati katika marikiti Kuu ya Chakechake Kisiwani Pemba wakijitafutia mahitaji kwa ajili ya futari, kama walivyokutwa na Kamera yatu ikiwa mitaani.
Dk.Hussein AmeIagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Kutoa
Fursa za Kuajiri Walimu Wengi Zaidi wa Fani Zote ili Kuondosha Changamoto
ya Walimu Zanzibar.
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Skuli
ya Ms...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment