Na,Mwanajuma Juma.
Kwa mujibu wa ratiba ya ligi hiyo inaonesha kwamba mechi zote za ligi hiyi zitachezwa kwenye uwanja wa Amaan .
Timu zilizoingia hatua hiyo ambazo zimepangwa katika Makunduchi mawili ni
Kwerekwe Boys, Baja na Polling land zipo kundi A na kundi B ni Maruhubi, Makadara na FC Porto.
Ratiba inanesha kuwa leo kutakuwa na mchezo wa kundi A Kati ya timu ya Kwerekwe Boys na Baja, ambao utachezwa wakati wa saa 10:00 jioni.
Aidha ratiba hiyo inaonesha kwamba kesho uwanjani hapo majira ya saa 10:00 za jioni Maruhubi watashuka Kupambana na Makadara.
No comments:
Post a Comment