Muonekano wa Jengo la ZURA eneo la Maisara Zanzibar kama linavyoonekana katika picha ya jengo hilo la Ghorofa Saba, Baada ya kukamilika kwa ujenzi huo litaonekana kama hivi na kutowa haiba nzuri ya Mjini wa Zanzibar.
DKT. MAULID - USIMAMIZI FANISI WA SHUGHULI ZA ELIMU NI CHACHU YA MAFANIKIO
KATIKA SEKTA YA ELIMU
-
8 Januari, 2026
Hayo yamesemwa leo tarehe 08 Januari, 2026 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipoku...
4 hours ago
0 Comments