Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina inayosambaza mabomba ya Maji Safi na Salama katika Mitaa mbalimbali ya Mkoa wa Mjini Magharibi wakiwa katika zoezi hilo katika mitaa ya Darajani wakasambaza mabomba hayo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika kazi ya kuunganisha mabomba hayo.
WIZARA YA NISHATI KUJA NA MPANGO WA KUNADI VITALU VYA UTAFUTAJI WA GESI NA
MAFUTA NCHINI
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulia Mafuta na Gesi Dkt
James Mataragio akizungumza wakati alipofungua Kikao cha Pili cha Mkutano
wa Pil...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment