Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina inayosambaza mabomba ya Maji Safi na Salama katika Mitaa mbalimbali ya Mkoa wa Mjini Magharibi wakiwa katika zoezi hilo katika mitaa ya Darajani wakasambaza mabomba hayo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika kazi ya kuunganisha mabomba hayo.
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment