Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina inayosambaza mabomba ya Maji Safi na Salama katika Mitaa mbalimbali ya Mkoa wa Mjini Magharibi wakiwa katika zoezi hilo katika mitaa ya Darajani wakasambaza mabomba hayo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika kazi ya kuunganisha mabomba hayo.
Kongole NECTA kwa mpango kupanda miti 150,000 kutunza mazingira
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala
Utunzaji wa Mazingira ni jukumu letu sote. Uwe mtoto, kijana, mtu mzima au
mzee. Uwe mwanamke au mwanamme, uwe msomi au usiwe m...
29 minutes ago
0 Comments