Msanii wa Muziki kutoka Nchini Afrika Kusini Sipho akitowa burudani ya Wimbo wake wa Zanzibar wakati wa Uzinduzi wa Tamasha la Nchi za Jahazi Zanzibar ZIFF lililofanyika katika viwanja Ngome Kongwe Zanzibar, uliofanyika jana usiku.
BASI LA KINGS MASAI TOURS LAKAMATWA KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
TANZANIA NA MSUMBUJI, MMILIKI AHOJIWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogamu
9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari mat...
6 hours ago
0 Comments