Msanii wa Muziki kutoka Nchini Afrika Kusini Sipho akitowa burudani ya Wimbo wake wa Zanzibar wakati wa Uzinduzi wa Tamasha la Nchi za Jahazi Zanzibar ZIFF lililofanyika katika viwanja Ngome Kongwe Zanzibar, uliofanyika jana usiku.
AHADI YA SERIKALI KUFIKISHA UMEME WA GRIDI KAGERA YATEKELEZWA
-
- Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote
Kagera kupata umeme wa Gridi
-Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivy...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment