Msanii wa Muziki kutoka Nchini Afrika Kusini Sipho akitowa burudani ya Wimbo wake wa Zanzibar wakati wa Uzinduzi wa Tamasha la Nchi za Jahazi Zanzibar ZIFF lililofanyika katika viwanja Ngome Kongwe Zanzibar, uliofanyika jana usiku.
TUTAKWENDA KUWA CHACHU YA UONGOZI - MKURUGENZI TACAIDS
-
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv
WAHITIMU wa mafunzo kutoka Taasisi za Umma na wametakiwa kwenda kuwa
mabalozi wazuri na kuleta mabadiliko katika sehemu wana...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment