Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene akivishwa skafu na skauti alipowasili katika tukio hilo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene akiwa na viongozi wengine kuanzia kushoto ni Mkurugenzi wa Jukwaa la Mabadiliko ya Tabianchi Rebeca Muna, Mkurugenzi wa Mashtaka Biswalo Mganga, Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN)-Tanzania Amon Manyama na Clara Makanya kutoka Shirika la Mazingira.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani yaliyofanyika Jijini Dodoma.
Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN)-Tanzania Amon Manyama akitoa neno la kumkaribisha mgeni rasmi kuhutubia Maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani.
Sehemu ya washiriki wa Maadhimosho ya Siku ya Amani Duniani wakifuatilia matukio. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani. 


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene akikabidhiwa mfuko mbadala na Afisa Habari wa Shirika la Mawasiliano la Umoja wa Mataifa (UNIC) Stella Vuzo.
Picha na OMR.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.