Maonesho ya Vitu vya Asili vikioneshwa wakati wa Kongamano la Tatu la Kimataifa la Kiswahili lililofanyika Zanzibar katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar. moja ya Vitu hivyo ni jinsi ya kupamba chumba kwa vitu vya asili kikiwemo kitanda cha besera, buli la maji viatu vya magongo na sanduku la mbao.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment