Maonesho ya Vitu vya Asili vikioneshwa wakati wa Kongamano la Tatu la Kimataifa la Kiswahili lililofanyika Zanzibar katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar. moja ya Vitu hivyo ni jinsi ya kupamba chumba kwa vitu vya asili kikiwemo kitanda cha besera, buli la maji viatu vya magongo na sanduku la mbao.
TANZANIA YAPONGEZWA KWA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI
-
SERIKALI ya Tanzania imeendelea kupata pongezi kutoka kwa wawekezaji wa
kigeni kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya biashara, ikiwemo
kurahisish...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment