Maonesho ya Vitu vya Asili vikioneshwa wakati wa Kongamano la Tatu la Kimataifa la Kiswahili lililofanyika Zanzibar katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar. moja ya Vitu hivyo ni jinsi ya kupamba chumba kwa vitu vya asili kikiwemo kitanda cha besera, buli la maji viatu vya magongo na sanduku la mbao.
ASANTENI WANA RUANGWA -MAJALIWA
-
WAZIRI Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa leo Julai 2, 2025
ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la Ruangwa baada ya
ku...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment