Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akitangaza mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 23, 2020.
Katika mabadiliko hayo yaliofanywa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli, amemteuwa Mhe. Mussa Azzan Zungu kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
Rais Magufuli amemteuwa Mhe, Goerge Simbachaweni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, anachukua nafasi iliokuwa ya Mhe. Kangi Lugola.
Pia ametengua uteuzi wa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thomas Andengenye
Katika mabadiliko hayo yaliofanywa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli, amemteuwa Mhe. Mussa Azzan Zungu kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
Rais Magufuli amemteuwa Mhe, Goerge Simbachaweni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, anachukua nafasi iliokuwa ya Mhe. Kangi Lugola.
Pia ametengua uteuzi wa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thomas Andengenye
No comments:
Post a Comment