Mkuu wa Jeshi la Polisi
Nchini IGP Simon Sirro akikagua eneo la uwanja wa mbinu za medani lililopo
Halmashauri ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, leo 06/03/2020, IGP Sirro
yupo mkoani humo kwa ajili ya ziara ya kikazi
Mkuu wa
Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (wapili kulia) akitumia darubini
kuangali wakati alipofanya ziara ya ukaguzi eneo la uwanja wa mbinu za medani
lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, leo 06/03/2020, IGP
Sirro yupo mkoani humo kwa ajili ya ziara ya kikazi.
Mkuu wa
Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) akizungumza na maofisa wa
vyeo mbalimbali (hawapo pichani) wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika
Shule ya Polisi Moshi iliyopo mkoani Kilimanjaro, leo kulia ni Kamanda wa
Polisi mkoa wa Kilimanjaro ACP Hamis Hamduni na kushoto ni Kaimu Mkuu wa shule
hiyo ya Polisi ACP Omar K. Omar. Picha
na Jeshi la Polisi
No comments:
Post a Comment