Mfanyabiashara Maarufu Zanzibar wa Kampuni ya Bopar Zanzibar Ndg. Said Nassir Nassor Bopar akizungumza na Waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya kukabidhi vifaa kwa Wizara ya Afya Zanzibar kujikinga na Maradhi ya Corona. Makabidhiano hayo yamefanyikia katika viwanja vya Wizara ya Afya Zanzibar Mnazi mmoja leo.
Mfanyabiashara Maarufu Zanzibar wa Kampuni ya Bopar Zanzibar Ndg. Said Nassir Nassor Bopar akizungumza na Waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya kukabidhi vifaa kwa Wizara ya Afya Zanzibar kujikinga na Maradhi ya Corona. Makabidhiano hayo yamefanyikia katika viwanja vya Wizara ya Afya Zanzibar Mnazi mmoja leo.
Baadhi ya Vifaa mbalimbali vya Tiba ya Afya vilivyotolewa na Mfanyabiashara maarufu Zanzibar Bopar kwa ajili ya kupambana na maradhi ya Corona yalioikumbu Dunia, hafla hiyo imefanyika leo katika viwanja vya Wizara ya Afya Zanzibar mnazi mmoja.
No comments:
Post a Comment