Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha dharura kuhusu Masuala ya Migodi nchini kulia Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mhe Mussa Azan Zungu kushoto Waziri wa Madini Mhe Dotto Biteko. Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa Hazina Mjini Dodoma
Tanzania Yanufaika na Mradi wa Uchumi wa Buluu
-
Mkuu wa Chuo cha Bahari (DMI) Prof. Tumaini Gurumo akiwasilisha Mradi wa
Uchumi wa Buluu na Kituo cha Mafunzo unaolenga kuimarisha rasilimaliwatu,
teknol...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment