Kada wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Abdulhalim Mohammed Ali katikati akitoka katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar baada ya kukamilisha uchukuaji wa Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 13 wa CCM kuchukua fomu leo.
Serikali Yathibitisha Uhakika wa Ardhi kwa Wawekezaji Bagamoyo
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo
(MB.), Akikabidhi hati za mikataba ya uwekezaji kwa wawekezaji katika Eneo
Maalum...
41 minutes ago


0 Comments