Kada wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Abdulhalim Mohammed Ali katikati akitoka katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar baada ya kukamilisha uchukuaji wa Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 13 wa CCM kuchukua fomu leo.
RUGAMBWA ATEULIWA KAMATI YA MASHINDANO CHAMA CHA SOKA MKOA WA SONGWE
-
Chama cha Soka Mkoa wa Songwe imemtetua Ndugu Juvenalius Rugambwa kuwa
mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Chama cha Soka Mkoani humo SOREFA.
Rugambwa,...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment