Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi pamoja na waakilishi
mbalimbali wa Chama cha Walimu CWT kabla ya kufungua Mkutano Mkuu wa Uchaguzi
wa CWT uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo tarehe 5 Juni
2020.
Baadhi
ya Waalimu wakishangilia wakati wa Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri jijini
Dodoma.
Baadhi
ya Waalimu wakishangilia wakati wa Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri jijini
Dodoma.
Baadhi
ya Waalimu wakishangilia wakati wa Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri jijini
Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza jambo na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kabla ya kufungua Mkutano Mkuu
wa Uchaguzi wa CWT uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwapungia Walimu wakati akiwasili katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa
ajili ya ufunguzi Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CWT uliofanyika katika uwanja wa
Jamhuri jijini Dodoma leo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiondoka katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma mara baada ya kufungua Mkutano
Mkuu wa Uchaguzi wa CWT uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment