Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Handeni mjini Omary Kigoda akirudisha fomu jana kwenye ofisi ya CCM wilayani humo, kulia ni Katibu wa UWT wilaya Aisha Mpuya, Kigoda amewania tena nafasi hiyo kutetea kiti chake.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
No comments:
Post a Comment