RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , baada ya kumalizika kwa hafla ya kuapishwa iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment