RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bi. Marina Joel Thomas kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja, hafla
hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bw.Issa Juma Ali,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Pemba, hafla hiyo
imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bi. Hamida Mussa Khamis,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi B
Unguja hafla hiyo imefanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha CDR.Mohammed Mussa Seif,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Pemba,
hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akimuapisha Bw.Rashid Simai Msaraka,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja hafla
hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bw.Sadifa Juma Khamis,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A Unguja,
hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bw.Aboud Hassan Mwinyi,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja,
hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bw.Rashid Makame Shamsi,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, hafla
hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bi.Mgeni Khatib Yahya,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wete Pemba, hafla hiyo
imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bw.Abdalla Rashid Ali,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Pemba,
hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
WAKUU
wa Wilaya za Unguja na Pemba wakifuatriulia hutuba ya Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
baada ya kuwaapisha katika ukumbi wa Ikulu leo jioni 4/1/2021.
MAKAMU
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akihudhuria hafla ya
kuapishwa kwa Wakuu wa Wilaya za Unguja na Pemba hafla iliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibarv leo jioni 4-1-2021 na (kulia kwake) Naibu
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Mgeni Hassan Juma
WAKUU wa Wilaya za Unguja na Pemba wakifuatriulia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) baada ya kuwaapisha katika ukumbi wa Ikulu leo jioni 4/1/2021.
No comments:
Post a Comment