Habari za Punde

Mbunge wa Jimbo la Kojani atoa msaada kwa Misikiti na Madrasah jimboni kwake

MBUNGE wa Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Hamad Hassan Chande, akimkabidhi misahafu pamoja na vitambu mbali mbali vya kliarabu, mmoja kati ya viongozi wa kamati ya walimu wa madrasa jimbo la Kojani Haji Idarous Bakari, kwa ajili ya kugawiwa katika vyuo vya kurani vilivyomo ndani ya jimbo hilo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MBUNGE wa Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Hamad Hassan Chande, akimkabidhi  boksi za Tende mmoja kati ya viongozi wa kamati ya walimu wa madrasa Salum Hamad Issa, kwa ajili ya kutolewa kwenye miskti mbali mbali iliyomo ndani ya jimbo hilo. (PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.