Afisa upimaji wa Afya za wanafunzi kutoka kitengo cha Elimu mjumuisho na stadi za maisha bwana Mohammed Idarous Mohammed, akitoa elimu kwa Wanafunzi wa Skuli ya msingi Kisiwandui juu ya namna ya kuchukua tahadhari pamoja na mambo ya kufanya katika kipindi cha mvua za masika zitakaponyesha.
Na Maulid Yussuf WEMA
No comments:
Post a Comment