Mzee Haji Gora Msanii Mkongwe amefariki dunia leo na anatarajiwa kuzikwa Kijiji Kwao Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya Sala ya Adhuhuri Tumbatu Zanzibar, Mzee Gora hajawahi kusoma hata darasa moja lakini ametunga vitabu zaidi ya 10 na baadhi yake vinafundishiwa katika skuli za Tanzania. Ametunga mashairi zaidi ya 80. Moja wapo maarufu ni Kimbunga.
TASAC YATOA MAFUNZO KWA WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI MAJINI
-
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) jana tarehe 16 Septemba, 2025
lilifanya mafunzo ya usalama na utunzaji wa mazingira majini kwa wadau wa
usaf...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment