Mzee Haji Gora Msanii Mkongwe amefariki dunia leo na anatarajiwa kuzikwa Kijiji Kwao Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya Sala ya Adhuhuri Tumbatu Zanzibar, Mzee Gora hajawahi kusoma hata darasa moja lakini ametunga vitabu zaidi ya 10 na baadhi yake vinafundishiwa katika skuli za Tanzania. Ametunga mashairi zaidi ya 80. Moja wapo maarufu ni Kimbunga.
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment