Mzee Haji Gora Msanii Mkongwe amefariki dunia leo na anatarajiwa kuzikwa Kijiji Kwao Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya Sala ya Adhuhuri Tumbatu Zanzibar, Mzee Gora hajawahi kusoma hata darasa moja lakini ametunga vitabu zaidi ya 10 na baadhi yake vinafundishiwa katika skuli za Tanzania. Ametunga mashairi zaidi ya 80. Moja wapo maarufu ni Kimbunga.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA
MASHARIKI YA KATI
-
*Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa
kiasi kikubwa na vita inayoendelea kati ya Marekani kwa kushirikiana na
Isr...
1 hour ago

0 Comments