Mzee Haji Gora Msanii Mkongwe amefariki dunia leo na anatarajiwa kuzikwa Kijiji Kwao Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya Sala ya Adhuhuri Tumbatu Zanzibar, Mzee Gora hajawahi kusoma hata darasa moja lakini ametunga vitabu zaidi ya 10 na baadhi yake vinafundishiwa katika skuli za Tanzania. Ametunga mashairi zaidi ya 80. Moja wapo maarufu ni Kimbunga.
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment