Mzee Haji Gora Msanii Mkongwe amefariki dunia leo na anatarajiwa kuzikwa Kijiji Kwao Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya Sala ya Adhuhuri Tumbatu Zanzibar, Mzee Gora hajawahi kusoma hata darasa moja lakini ametunga vitabu zaidi ya 10 na baadhi yake vinafundishiwa katika skuli za Tanzania. Ametunga mashairi zaidi ya 80. Moja wapo maarufu ni Kimbunga.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment