Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewasili Uwanja wa Ndege wa Tanga akitokea Jijini Dodoma ambapo leo Usiku atamuwakilisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi katika Kilele cha Sherehe za Tanzania Muslim Teachers' Association Day.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment