Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewasili Uwanja wa Ndege wa Tanga akitokea Jijini Dodoma ambapo leo Usiku atamuwakilisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi katika Kilele cha Sherehe za Tanzania Muslim Teachers' Association Day.
WAFANYAKAZI MZUMBE WANOLEWA NA TAKUKURU, WANACHUO WAASWA KUZINGATIA MASOMO
-
Mtoa mada na mwanasheria wa Takukuru, Bw. Imani Mizizi akizungumza wakati
wa mafunzo ya juu ya Rushwa mahala pa Kazi kwa wafanyakazi wa Chuo Kikuu
Mzumbe ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment