Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewasili Uwanja wa Ndege wa Tanga akitokea Jijini Dodoma ambapo leo Usiku atamuwakilisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi katika Kilele cha Sherehe za Tanzania Muslim Teachers' Association Day.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment