Habari za Punde

Inallilah Waina Rajuin Mzee Njenje Waziri Ally

#Updates: Kwa niaba ya familia naomba kutoa taratibu za msiba wa Waziri Ally

Ndugu na jamaa wote kukutana Mwananyamala Hospitali  asubuhi hii.

Tunatarajia mwili utasafirishwa leo saa tano asubuhi kwenda Tanga ambako msiba utakuwa barabara ya 21 karibu na kiwanda cha Chuma zamani.

Mazishi yatakuwa kesho Jumapili kijijini kwao Pongwe.

Aboubakary Liongo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.