Habari za Punde

Mwakilishi na Mbunge Wawi waahidi kulimaliza Jengo la skuli ya Maandalizi Kibokoni

MWAKILISHI wa Jimbo la Wawi Wilaya ya Chake Chake Bakari Hamad Bakari, akikagua banda la skuli ya maandalizi Ditia Jimbo la Wawi, kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo makubwa hadi kukamilika kwake, baada ya kupitishwa na kamati ya jimbo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

BAADHI ya wajumbe wa kamati ya jimbo la Wawi Wilaya ya Chake Chake wakikagua, skuli ya maandalizi Kibokoni Vitongoji skuli hiyo tayari imeshapangwa na kamati hiyo kumalizwa ujenzi wake, kupitia mwakilishi na mbunge wa jimbo hilo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWAKILISHI wa Jimbo la Wawi Wilaya ya Cjke Chake Bakari Hamad Bakari, akizungumza na wananchi wa Kibokoni Vitongoji mara baada ya kukagua ujenzi wa skuli ya maandalizi Kobokoni, ambayo inahitaji kuezekwa kwa sasa kupitia mwakilishi na Mbunge wa jimbo hilo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WANANCHI wa shehia ya kibokoni Vitongoji wakimsikiliza kwa makini Mwakilishi wa jimbo la Wawi Wilaya ya Chake Chake, wakati alipofika kukagua ujenzi wa banda la skuli ya maandalizi kibokoni, ambayo imo katika mkakati wa kumaliziwa ujenzi wake na mwakilishi wa jimbo hilo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.