Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Julai 02,2021 kwa ajili ya kushiriki kuaga Mwili wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa TANROD Patrick Mfugale.
WAFANYAKAZI MZUMBE WANOLEWA NA TAKUKURU, WANACHUO WAASWA KUZINGATIA MASOMO
-
Mtoa mada na mwanasheria wa Takukuru, Bw. Imani Mizizi akizungumza wakati
wa mafunzo ya juu ya Rushwa mahala pa Kazi kwa wafanyakazi wa Chuo Kikuu
Mzumbe ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment