Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Awasili Jijini Dar es Salaam Kuaga Mwili wa Marehemu Mfugale.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Julai 02,2021 kwa ajili ya kushiriki kuaga Mwili wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa TANROD Patrick Mfugale. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.