Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Julai 02,2021 kwa ajili ya kushiriki kuaga Mwili wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa TANROD Patrick Mfugale.
Mtoto wa miaka 12 ajinyonga baada ya kukemewa Morogoro
-
Mtoto mwenye umri wa miaka 12, Rajabu Ally Mohammed, mkazi wa Ijava
wilayani Gairo mkoani Morogoro, amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya
kukemewa na...
50 minutes ago
0 Comments