Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Julai 02,2021 kwa ajili ya kushiriki kuaga Mwili wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa TANROD Patrick Mfugale.
NAMUONA DK. SAMIA AKIENDA KUVUNJA REKODI ZA ASILIMIA ZA USHINDI WA RAIS
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KAMPENI za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu
zinaendelea tena kwa vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi hu...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment