Habari za Punde

Matukio ya Picha Kisiwani Pemba.

WAZIRI wa Habari Utamaduni na Vijana Zanzibar Tabia Maulid Mwita, akizungumza na wasanii wa ngoma za asili Kisiwani Pemba, wakati wa mashindano ya ngoma hizo.
MKUU wa Wilaya ya Micheweni Mohamed Mussa Seif (Mkobani), akizungumza na vijana mbali mbali wa uchongani na uchomaji mara baada ya kukabidhiwa vifaa vyao kutoka Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar
WAZIRI wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar ambae pia ni mwakilishi wa Kuteuliwa Viti maalumu kupitia wasomi Kisiwani Pemba Lela Mohamed Mussa, akimkabidhi fotokopi mashine Mwalimu Mkuu wa skuli Uwandani Sekondari Khamis Ali Abdalla.(

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.