Habari za Punde

Naibu Waziri Mhe Mary Masanja Awataka UWT Kwimba Kushiriki Katika Kuikuza Jumuiya.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mwanza, Mhe. Mary Masanja  akikabidhi pikipiki na majiko ya gesi kwa Jumuiya wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Kwimba alipofanya ziara katika jumuiya hiyo
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mwanza, Mhe. Mary Masanja  akifurahia pamoja na wanajumuiya ya  Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Kwimba baada ya kuwakabidhi pikipiki, majiko a gesi na kompyuta alipofanya ziara katika jumuiya hiyo
Katibu wa CCM Wilaya ya Kwimba Latifa Malimi akitoa neno la shukrani kwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mwanza, Mhe. Mary Masanja  (katikati) kwa niaba ya wanajumuiya ya  Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Kwimba(hawapo pichani) baada ya kukabidhiwa pikipiki, majiko ya gesi, kompyuta na fedha za kuanzisha miradi midogomidogo katika kikao kilichofanyika 
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mwanza, Mhe. Mary Masanja  akizungumza na wanajumuiya ya  Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Kwimba(hawapo pichani) alipofanya ziara katika jumuiya hiyo
Baadhi ya wanajumuiya ya  Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Kwimba wakimsikiliza Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mwanza, Mhe. Mary Masanja  (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza wakati wa ziara yake iliyofanyika leo katika ukumbi wa CCM Wilaya ya Kwimba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.