Habari za Punde

Mbunge viti maalum mkoa wa kusini Pemba atoa msaada vifaa vya tiba Hospitali za Chake

MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Kusini Pemba Zulfa Mmaka Omar (katikati), akimkabidhi Afisa Uwendeshaji Tiba Pemba Dk.Yussuf Hamad Iddi (wapili kutoka kulia), kitanda cha kubebea wagonjwa wanaofika katika hospitali ya Chake Chake, hafla iliyofanyika ndani ya Hospitali hiyo.

MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Kusini Pemba Zulfa Mmaka Omar(kushoto) akimkabidhi mipira ya kuzalishia mama wajawazito Afisa Uwendeshaji Tiba Pemba Dk.Yussuf Hamad Iddi, kwa ajili ya kituo cha afya Wesha Wilaya ya Chake Chake.

MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Kusini Pemba Zulfa Mmaka Omar(kushoto) akimkabidhi vitakasa mikono Afisa Uwendeshaji Tiba Pemba Dk.Yussuf Hamad Iddi, kwa ajili ya kituo cha afya Wesha Wilaya ya Chake Chake.

MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Kusini Pemba Zulfa Mmaka Omar(wa pili kushoto) akimkabidhi vifaa vya wagonjwa wa Viungo Afisa Uwendeshaji Tiba Pemba Dk.Yussuf Hamad Iddi (wa kwanza kulia), kwa ajili ya Hospitali ya Chake Chake Mkoa wa Kusini Pemba.

 MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Kusini Pemba Zulfa Mmaka Omar(wa pili kushoto) akiangalia vifaa vya kusaidia pumzi kwa uongozi wa Hospitali ya Chake Chake, hafla iliyofanyika ndani ya Hospitali.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.