RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar Dr.Abdalla Juma Mabodi alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman
kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kupongeza Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, uliofanyika katika
viwanja hivyo lililofanyika leo.20-11-2021 Zanzibar
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa UWT alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman
kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kupongeza,uliofanyika katika
viwanja hivyo lililofanyika leo.20-11-2021 Zanzibar
WANANCHI wa Zanzibar na Mikoa mengine
wakishangilia wakati wa Mkutano ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake wa Tanzania
(UWT) kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu
Hassan, uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja
VIONGOZI Wastafu wa Umoja wa Wanawake Tanzania
(UWT) wakishangilia wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan, akihutubia katika mkutano maalum wa kumpongeza ulioandaliwa na
UWT katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Mke
wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Sharifa
Omar KhalfanI wakifuatilia mkutano wa kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania
(UWT) uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja
WANACHAMA wa (UWT) wakishangilia wakati wa hafla
ya Mkutano Maalum wa kumpogeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Samia Suluhu Hassan.(hayupo pichani) mkutano uliofanyika katika viwanja vya
Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo 20-11-2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuhutubia katika mkutano
maalum ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kumpongeza Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, uliofanyika katika
viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja
WAKE Viongozi wakifuatilia Mkutano wa Kumpongeza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, ulioandaliwa
na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT) uliofanyika katika viwanja vya
Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja
WAKE Viongozi wakifuatilia Mkutano wa Kumpongeza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, ulioandaliwa
na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT) uliofanyika katika viwanja vya
Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Samia Suluhu Hassan akihutubia katika hafla ya mkutano maalum wa kumpongeza
ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania.(UWT) uliofanyika katika viwanja vya
Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo 20-11-2021
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Samia Suluhu Hassan akihutubia katika hafla ya mkutano maalum wa kumpongeza
ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania.(UWT) uliofanyika katika viwanja vya
Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo 20-11-2021
VIONGOZI Wastaafu wa UWT wakifuatilia hutuba ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.(hayupo
pichani) akihutubia katika mkutano maalum wa kumpongeza ulioandaliwa na Umoja
wa Wanawake Tanzania (UWT) uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman
Wilaya ya Mjini Unguja leo
VIONGOZI wa Jumuiya za Chama cha Mapinduzi
wakiwemo Wabunge na Wawakilishi wakifuatilia hutuba ya mgeni rasmin Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, akihutubia katika
viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja,wakati wa hafla ya mkutano
wa kumpongeza ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania uliofanyika leo
20-11-2021, katika viwanja vya Maisara Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Rais Mstaafu wa
Zanzibar Awamu ya Saba Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.(hayupo pichani)
akihutubia katika mkutano maalum ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania
(UWT) wa kumpongeza uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya
Mjini Unguja leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mama Fatma Karume, baada ya kumalizika kwa
mkutano maalum ulioandaliwa na (UWT) kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, uliofanyika katika viwanja vya Maisara
Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na kuagana
na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu Mhe.Dkt. Mohammed
Gharib Bilal na (kulia) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mstaaf.Mhe Balozi
Seif Ali Iddi na (kushoto) Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Mhe.Zuberi
Ali Maulid.
(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment