BAADHI ya wanafunzi kutoka vyuo mbali mbali vikuu
Kisiwani Pemba, wakipitia katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 wakati wa
uwasilishaji wa mada juu ya Haki za Binaadamu, Dhana ya Udhalilishaji, kwenye
kongamano la siku 16 za kupinga udhalilishaji kwa wanafunzi hao,
lililoandaliwa na kituo cha Huduma za Sheria Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA Mipango kutoka kituo cha huduma za sheria
Zanzibar Tawi la Pemba, Safia Saleh Sultani akiwaonyesha wanafunzi wa vyuo
vikuu vilivyopo Pemba, katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 wakati wa kongamano la
siku 16 za kupinga Udhalilishaji kwa wanafunzi hao.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA Mdhamini Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,
Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ zanzibari, Thabit Othman Abdalla
akifungua kongamano la siku 16 za kupinga udhalilishaji, lililoandaliwa na
kituo cha huduma za sheria Zanzibar Tawi la Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MWANASHERIA kutoka Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar Tawi la Pemba, Siti Habibu Mohamed akizungumza na Mwaandishi wa habari
Fatma Hamad Faki (Pemba yaleo) na Zuhura Juma (Zanzibarleo), baada ya kumaliza
utoaji wa elimu kwa wanafunzi wa skuli ya Madungu Msingi juu ya siku 16 za
kupinga udhalilishaji wa kijinsia.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment