MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud, akifungua mafunzo ya Mahakimu juu ya
upatikanaji wa haki kwa watu wasiokuwa na uwezo na wenye mahitaji maalumu
katika mahakama, mafunzo hayo yametolewa na Idara ya Katiba na Msaada wa
Kisheria Zanzibar kwa ufadhili kutoka Taasisi ya LSF na kufanyika mjini Chake
Chake.
MAHAKIMU na Majaji Kisiwani Pemba, wakifuatilia ufunguzi wa
mafunzo ya Mahakimu juu ya upatikanaji wa haki kwa watu wasiokuwa na uwezo na
wenye mahitaji maalumukatika mahakama, mafunzo hayo yametolewa na Idara ya
Katiba na Msaada wa Kisheria Zanzibar kwa ufadhili kutoka Taasisi ya LSF na
kufanyika mjini chake chake.
MKURUGENZI wa Idara
ya Utawala Bora na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya katiba na Msaada wa kisheria
Zanzibar Zaina Daud Khalid, akitoa malengo ya mafunzo kwa Mahakimu juu ya
Upatikanaji wa Haki kwa watu wasiokuwa na Uwezo na wenye mahitaji maalumu
katika mahakama, mafunzo hayo yametolewa na Idara ya Katiba na Msaada wa
Kisheria Zanzibar kwa ufadhili kutoka Taasisi ya LSF na kufanyika mjini chake
chake.
AFISA Miradi wa
taasisi ya LSF Zanzibar Maryam Mansab, akitoa salamu za taasisi ya LSF kwa Mahakimu
juu ya upatikanaji wa haki kwa watu wasiokuwa na uwezo na wenye mahitaji
maalumu katika mahakama, mafunzo hayo yametolewa na Idara ya Katiba na Msaada
wa Kisheria Zanzibar kwa ufadhili kutoka Taasisi ya LSF na kufanyika mjini
chake chake
AFISA Mdhamini Ofisi
ya Rais, Katiba, sheria, Utumishi na Utawala bora Pemba Halima Khamis Ali,
akizunguza na kumkabirisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, katika mafunzo ya
Mahakimu juu ya upatikanaji wa haki kwa watu wasiokuwa na uwezo na wenye
mahitaji maalumu katika mahakama, mafunzo hayo yametolewa na Idara ya Katiba na
Msaada wa Kisheria Zanzibar kwa ufadhili kutoka Taasisi ya LSF na kufanyika
mjini Chake Chake
MAHAKIMU na Majaji Kisiwani Pemba, wakifuatilia ufunguzi wa
mafunzo ya Mahakimu juu ya upatikanaji wa haki kwa watu wasiokuwa na uwezo na
wenye mahitaji maalumukatika mahakama, mafunzo hayo yametolewa na Idara ya
Katiba na Msaada wa Kisheria Zanzibar kwa ufadhili kutoka Taasisi ya LSF na
kufanyika mjini chake chake.
MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na
mahakimu na majaji walioshiriki mafunzo ya Mahakimu juu ya upatikanaji wa haki
kwa watu wasiokuwa na uwezo na wenye mahitaji maalumu katika mahakama, mafunzo
hayo yametolewa na Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria Zanzibar kwa ufadhili
kutoka Taasisi ya LSF na kufanyika mjini Chake Chake.
(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment