Habari za Punde

Wakulima wa Mwani waja na mbinu mpya kuuhifadhi Mwani

WAKULIMA wa Mwani katika kijiji cha Makangale Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba, sasa wamebuni mbinu mpya ya uwanikaji wa Zao hilo juu ya kamba, ili kuunusuru mwani huo kuingia michanga, vumbi na takataka pale wanapoanika chini, pichani mmoja ya wananchi wa kijiji hicho akianika mwani huo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


BIDHAA ya Mwani ikiwa umeanikwa juu ya kamba kwa lengo la kunusuru kuingia uchafu, pale wanapouwanika chini ikizingatiwa mwani ni chakula kama ilivyo vyakula vyengine.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.