6/recent/ticker-posts

Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliano Ardhi na Nishati BLW wafika Bandari ya Mkokotoni

Mkurugenzi Wa Shirika La Bandari Zanzibar Nd. Nahaat Mohammed Mahfoudh akitoa maelezo kwa Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliano Ardhi na Nishati kuhusu muendelezo wa ujenzi wa Bandari ya Mkokotoni wakati kamati hiyo ilipofika bandarini hapo kukagua shughuli zinazoendelea baada ya kufunguliwa rasmi hivi karibuni

 Mkurugenzi Wa Shirika La Bandari Zanzibar Nd. Nahaat Mohammed Mahfoudh akitoa maelezo kwa Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliano Ardhi na Nishati kuhusu muendelezo wa ujenzi wa Bandari ya Mkokotoni wakati kamati hiyo ilipofika bandarini hapo kukagua shughuli zinazoendelea baada ya kufunguliwa rasmi hivi karibuni

Post a Comment

0 Comments