Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika Mkutano wa Mabalozi wa nchi Wanachama wa Umoja wa nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (OACPS) uliofanyika katika Makao Makuu ya Umoja huo Brussels nchini Ubelgiji leo tarehe 15 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa nchi Wanachama wa Umoja wa nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (OACPS) mara baada ya Mkutano wa OACPS uliofanyika katika Makao Makuu ya Umoja huo Brussels nchini Ubelgiji leo tarehe 15 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Wageni katika Makao Makuu ya Umoja wa nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (OACPS) mara baada ya kuhutubia leo tarehe 15 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment