Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika Mkutano wa Mabalozi wa nchi Wanachama wa Umoja wa nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (OACPS) uliofanyika katika Makao Makuu ya Umoja huo Brussels nchini Ubelgiji leo tarehe 15 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa nchi Wanachama wa Umoja wa nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (OACPS) mara baada ya Mkutano wa OACPS uliofanyika katika Makao Makuu ya Umoja huo Brussels nchini Ubelgiji leo tarehe 15 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Wageni katika Makao Makuu ya Umoja wa nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (OACPS) mara baada ya kuhutubia leo tarehe 15 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
CCM YATOA MAELEKEZO KWA TAMISEMI KUSIMAMIA UPELEKAJI WALIMU MAENEO YENYE UHITAJI, YASHITUKIA UFAULU GAIRO
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi TV - Gairo
CHAMA CHA Mapinduzi ( CCM) kupitia Katibu Mkuu wake Daniel Chongolo kimetoa
maelekezo kwa Wizara ya Nchi, Ofisi ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment