Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 21 Mei akiwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Zurich uliopo Kloten nchini Uswisi,kushoto ni Balozi wa
Tanzania nchini Uswisi mwenye makazi yake Berlin nchini Ujerumani Dkt. Abdallah
Possi. Makamu wa Rais anashiriki Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani
unaofanyika Davos nchini Uswisi.
No comments:
Post a Comment