Ajali ya Gari iliyohusisha Vespa na Gari Ndogo ya IST katika makutano ya barabara ya madema na Gmykhana katika ajali hiyo mpanda vespoa amapata majerubi na kuwahishwa Hospitali Kuu hya Mzani mmoja ya huduma ya kwanza n a hakuna Mtu aliyefariki katika ajali hiyo.
JITOKEZENI KUJIANDIKISHA - DC MPOGOLO.
-
MKUU wa wilaya ya Ilala, mkoani Dar es salaam, Edward Mpogolo ameshiriki
zoezi la kujiandikisha katika maboresho ya Daftari la kudumu la mpiga kura ...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment