Ajali ya Gari iliyohusisha Vespa na Gari Ndogo ya IST katika makutano ya barabara ya madema na Gmykhana katika ajali hiyo mpanda vespoa amapata majerubi na kuwahishwa Hospitali Kuu hya Mzani mmoja ya huduma ya kwanza n a hakuna Mtu aliyefariki katika ajali hiyo.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment