RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Madaktari Bingwa kutoka
Kichina wakiongozwa na Dr. Qu Lishuai (kulia kwa Rais) alipowasili katika
ukumbi wa Ikulu Zanzibar, walipofika kwa ajili ya mazungumzo na kukabidhi Vifaa
Tiba kwa ajili ya Hospitali za Mnazi Mmoja,Kivunge,Chakechake Pemba na
Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kiongozi wa Madaktari Bingwa
kutoka Kichina Dr. Qu Lishuai akizungumza na kuwatambulisha Madaktari Bingwa
wanaotowa huduma za afya katika Hospitali za Unguja na Pemba, wakati wa hafla
ya kukabidhi Vifaa Tiba , hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Zanzibar leo 7-6-2022.
WAZIRI wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui
akizungumza wakati wa kukabidhiwa kwa Vifaa Tiba na Dawa kutoka kwa Madaktari
Bingwa wa Jamhuri ya Watu wa China, wanaotowa huduma za Afya katika hospitali
za Unguja na Pemba, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo
7-6-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kiongozi wa Madaktari Bingwa
kutoka China Dr.Qu Lishuai wakati akimkabidhi Vifaa Tiba kwa ajili ya matumizi
ya Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Unguja,Kivunge Mkoa wa Kaskazini
Unguja,Chakechake Pemba na Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 7-6-2022. (Kulia kwa Dr Qu )
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kiongozi wa Madaktari Bingwa
kutoka China Dr.Qu Lishuai wakati akimkabidhi Vifaa Tiba kwa ajili ya matumizi
ya Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Unguja,Kivunge Mkoa wa Kaskazini
Unguja,Chakechake Pemba na Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 7-6-2022. (Kulia kwa Dr Qu )
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Madaktari Bingwa wa Kichina
wanaotoa huduma za Afya katika Hospitali za Unguja na Pemba, walipofika Ikulu
Zanzibar kwa mazungumzo na kukabidhi Vifaa Tiba na Dawa mbalimbali kwa ajili ya
Hospitli ya Kuu ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Zanzibar,Kivunge Mkoa wa Kaskazini
Unguja,Chakechake Pemba na Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 7-6-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Madaktari Bingwa wa Kichina
wanaotoa huduma za Afya katika Hospitali za Unguja na Pemba, walipofika Ikulu
Zanzibar kwa mazungumzo na kukabidhi Vifaa Tiba na Dawa mbalimbali kwa ajili ya
Hospitli ya Kuu ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Zanzibar,Kivunge Mkoa wa Kaskazini
Unguja,Chakechake Pemba na Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 7-6-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Madaktari Bingwa wa Kichina
wanaotoa huduma za Afya katika Hospitali za Unguja na Pemba, walipofika Ikulu
Zanzibar kwa mazungumzo na kukabidhi Vifaa Tiba na Dawa mbalimbali kwa ajili ya
Hospitli ya Kuu ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Zanzibar,Kivunge Mkoa wa Kaskazini
Unguja,Chakechake Pemba na Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 7-6-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Madaktari Bingwa wa Kichina
wanaotoa huduma za Afya katika Hospitali za Unguja na Pemba, walipofika Ikulu
Zanzibar kwa mazungumzo na kukabidhi Vifaa Tiba na Dawa mbalimbali kwa ajili ya
Hospitli ya Kuu ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Zanzibar,Kivunge Mkoa wa Kaskazini
Unguja,Chakechake Pemba na Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 7-6-2022
No comments:
Post a Comment