Usafiri wa Gari za Abiria maarufu kwa Taxi katika Visiwa vya Zanzibar miaka hiyo gari hizi zilikuwa zikitoa huduma ya usafiri kwa Wananchi na Wageni wanapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar. Kwa sasa Gari hizi zimekuwa adimu kuonekana ni moja ya Historia ya Zanzibar gari hizi zimekuwa zikitimoka dahi katika miaka ya 90 zilikuwa zikitowa huduma ya Taxi Unguja na Pemba.
WATUMISHI KARIAKOO WAPEWA MKONO WA SHUKURANI SIKUKUU ZA MWISHO WA MWAKA,
WAHIMIZWA KUENDELEA KUWAJIBIKA.
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo limetoa zawadi za Sikukuu za Krismasi na
mwaka mpya kwa watumishi wake ikiwa ni sehemu ya motisha kwa utendaji kazi
wao mzuri...
2 hours ago


0 Comments