Usafiri wa Gari za Abiria maarufu kwa Taxi katika Visiwa vya Zanzibar miaka hiyo gari hizi zilikuwa zikitoa huduma ya usafiri kwa Wananchi na Wageni wanapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar. Kwa sasa Gari hizi zimekuwa adimu kuonekana ni moja ya Historia ya Zanzibar gari hizi zimekuwa zikitimoka dahi katika miaka ya 90 zilikuwa zikitowa huduma ya Taxi Unguja na Pemba.
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment