Usafiri wa Gari za Abiria maarufu kwa Taxi katika Visiwa vya Zanzibar miaka hiyo gari hizi zilikuwa zikitoa huduma ya usafiri kwa Wananchi na Wageni wanapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar. Kwa sasa Gari hizi zimekuwa adimu kuonekana ni moja ya Historia ya Zanzibar gari hizi zimekuwa zikitimoka dahi katika miaka ya 90 zilikuwa zikitowa huduma ya Taxi Unguja na Pemba.
MAOFISA WA SERIKALI WANAOPINDISHA HAKI KUCHUKULIWA HATUA, TIMU YA SAMIA
LEGAL AID KUORODHESHA MAJINA YAO
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
MAOFISA wa Serikali watakaobainika kuhusika kuchochea migogoro mbalimbali
dhidi ya wananchi na kupelekea kuichukia Serikali wan...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment