Usafiri wa Gari za Abiria maarufu kwa Taxi katika Visiwa vya Zanzibar miaka hiyo gari hizi zilikuwa zikitoa huduma ya usafiri kwa Wananchi na Wageni wanapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar. Kwa sasa Gari hizi zimekuwa adimu kuonekana ni moja ya Historia ya Zanzibar gari hizi zimekuwa zikitimoka dahi katika miaka ya 90 zilikuwa zikitowa huduma ya Taxi Unguja na Pemba.
Wahitimu wa St. Mary’s Watakiwa Kujiamini na Kuthubutu Kufikia Mafanikio”
-
Na Mwandishi Wetu
MTHIBITI Ubora wa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, Paschalina Herman Msofeo
amewataka wahitimu wa Kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment