Usafiri wa Gari za Abiria maarufu kwa Taxi katika Visiwa vya Zanzibar miaka hiyo gari hizi zilikuwa zikitoa huduma ya usafiri kwa Wananchi na Wageni wanapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar. Kwa sasa Gari hizi zimekuwa adimu kuonekana ni moja ya Historia ya Zanzibar gari hizi zimekuwa zikitimoka dahi katika miaka ya 90 zilikuwa zikitowa huduma ya Taxi Unguja na Pemba.
Wakulima wa Ngano Wilayani Monduli Walilia Soko la Jumla la zao hilo.
-
Na Jane Edward, Arusha
Wakulima wa zao la ngano wilayani Monduli, mkoa wa Arusha, wameiomba
serikali iwasaidie kuwatafutia soko la jumla ili waweze kunufa...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment