Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Kamishna Mkuu wa
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Wakimbizi (UNHCR)
Filippo Grandi mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26
Agosti, 2022.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
Mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala
ya Wakimbizi (UNHCR) Filippo Grandi mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino
Mkoani Dodoma tarehe 26 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kamishna
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Wakimbizi (UNHCR)
Filippo Grandi mara baada ya mazungumzo yao, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe
26 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kamishna
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Wakimbizi (UNHCR)
Filippo Grandi pamoja na ujumbe alioambatana nao Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe
26 Agosti, 2022.
No comments:
Post a Comment