RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Mzee Khamis Abdulla Ameir aliyewahi kuwa Mjumbe wa Baraza
la Kwanza la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, alipofika nyumbani kwake Maisara
kumtembelea na kumjulia hali yake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akikabidhiwa Kitabu kinachoelezea
Historia ya Maisha yake Mzee Khamis Abdulla Ameir, aliyewahi kuwa Mjumbe wa
Baraza la Kwanza la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, baada ya kumaliza
mazungumzo alipofika nyumbani kwake Maisara Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya
kumjulia hali yake leo 12-8-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akisoma Kitabu kilichoandikwa na Mzee Khamis Abdulla Ameir, kinachozungumzia historia
yake, baada ya kukabidhiwa wakati wa mazungumzo yao alipofika nyumbani kwake
Maisara Wilaya ya Mjini Unguja Jijini
Zanzibar kumtembelea na kumjulia hali yale leo 12-8-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiagana na Mzee Khamis Abdulla Ameir, aliyewahi kuwa Mjumbe wa Baraza
la Kwanza la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, baada ya kumaliza mazungumzo yao
alipofika nyumbani kwake Maisara Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar kumtembelea na kumjulia hali yake leo
12-8-2022.
No comments:
Post a Comment