RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akijumuika na Wananchi katika kupokea jeneza likiwa na mwili wa Marehemu Hamida
Mussa Omar. Mke wa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Ndg.Faina
Idarous (kushoto kwa Rais) na Kulia kwa
Rais) Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi, kwa ajili ya
kusalia, Sala hiyo iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Donge Karange
Mkoa wa Kaskazini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika
Ibada ya Sala ya jeneza ikiongozwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh
Mahmoud Mussa Wadi, iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Donge Karange
Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 7-8-2022. na (kushoto kwa Rais) Mume wa Mareheme
Hamida Mussa Omar, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Ndg. Faina
Idarous, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla. na (kulia kwa Rais)
Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali na Makamu wa Kwanza wa Rais
Mhe. Othman Masoud Othman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam wakiitikia
dua ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali.(kulia kwa
Rais) baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya jeneza , iliyofanyika katika
Msikiti Mkuu wa Ijumaa Donge Karange Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 7-8-2022. na
(kushoto kwa Rais) Mume wa Mareheme Hamida Mussa Omar, Katibu Mkuu Ofisi ya
Makamu wa Pili wa Rais Ndg. Faina Idarous, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja
Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed
Suleiman Abdulla
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu
Hamida Mussa Omar, wakati wa maziko yake yaliofanyika Kijijini kwao Donge
Karange Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 7-8-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kuitikia dua ya
kumuombea Marehemu Hamida Mussa Omar, baada ya kumalizika kwa maziko hayo
yaliyofanyika katika Kijiji cha Donge Karange Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
7-8-2022, na (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhaj Othman
Masoud Othman na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe, Ayoub Mohammed Mahmoud
na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj. Hemed Suleiman
Abdulla.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akitowa mkono wa Pole kwa familia ya Marehemu Hamida Mussa Omar, Mke wa
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Ndg. Faina Idarous (kulia kwa Rais)
alipofika nyumbani kwa marehemu Donge Karange
na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub
Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akijumuika na Familia ya Marehemu Hamida Mussa Omar, wakiitikia dua ya
kumuombea Marehemu Hamida Mussa Omar, ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh
Hassan Othman Ngwali(hayupo pichani) baada ya kutowa mkono wa Pole kwa familia
alipofika nyumbani kwa marehemu Donge Karange Mkoa wa Kaskazini Unguja.
No comments:
Post a Comment