MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar
Dkt.Abdalla Juma Sadala Mabodi, alipowasili Chamwino kuhudhuria Kikao cha
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyila leo 26-9-2022, katika
ukumbi wa Chamwino Dodoma
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana
na Katibu Mkuu wa CCM Ndg.Chongolo. na (kulia) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, wakiwa katika ukumbi wa
Chamwino Dodoma kabla ya kuaza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya
CCM Taifa kilichofanyika leo leo 26-9-2022
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kubadilishana mawazo na Makamu
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein,
wakiwa katika ukumbi wa Chamwino Dodoma leo 26-9-2022
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed
Suleiman Abdulla, wakiwa katika ukumbi wa mkutano Chamwino Dodoma leo 26-9-2022, wakati wa Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma kabrasha
kabla ya kuaza kwa Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika katika ukumbi wa Chamwino Dodoma leo 26-9-2022.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakisoma makabrasha ya ajenda ya Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri ya CCM Taifa, kabla ya kuaza kwa Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Chamwino Dodoma leo 26-9-2022.
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan alipowasili
katika ukumbi wa Chamwino Dodoma kwa ajili ya kuongoza Kikao Maalum cha Kamati
Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo 26-9-2022, na (kulia)
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed
Shein, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla
WAJUMBE wa Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika ukumbi wa Chamwino Dodoma wa kwanza
kulia Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali
Mohamed Shein, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia
ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri ya CCM Taifa amae pia ni Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
kilichofanyika leo 26-9-2022 katika ukumbi wa Chamwino DodomaMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
kilichofanyika leo 26-9-2022 katika ukumbi wa Chamwino Dodoma
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
kilichofanyika leo 26-9-2022 katika ukumbi wa Chamwino Dodoma
No comments:
Post a Comment