Ujumbe wa Serikali ya Tanzania unaoongozwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu kwa kushirikiana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab umetembelea Uwanja wa Kimataifa wa Khalifa ulipo Jijini Doha, Qatar. Uwanja huo pia unajulikana kama Uwanja wa Taifa, ni moja kati ya uwanja utakaotumika kwenye mashindano ya Kombe la Dunia yatakayoanza mwezi Novemba 2022.
KATIBU MKUU MASWI AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI USIMAMIZI WA
MASHAURI
-
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusimamia kwa
weledi mashauri ya madai na usuluhishi hatua ambayo imesaidia Serikali
kuongeza...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment