Ujumbe wa Serikali ya Tanzania unaoongozwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu kwa kushirikiana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab umetembelea Uwanja wa Kimataifa wa Khalifa ulipo Jijini Doha, Qatar. Uwanja huo pia unajulikana kama Uwanja wa Taifa, ni moja kati ya uwanja utakaotumika kwenye mashindano ya Kombe la Dunia yatakayoanza mwezi Novemba 2022.
RAIS SAMIA ATANGAZA MSAMAHA KWA VIJANA WALIOKAMATWA KWA UHAINI
-
*Asema wengi walifuata mkumbo Oktoba 29,atoa maelekezo kuangaliwa viwango
vya makosa
*Asisitiza kama Taifa linaendelea kujifunza na kujirekebisha,aizungumz...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment