Habari za Punde

KIST yapata Tuzo

Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume Zanzibar (KIST), Dkt. Mahmoud Abdulwahab Alawi, wa kwanza (kushoto ) akipokea Tunzo  ya Ushindi wa Maadhimisho ya kongamano la Sita la mambo ya TEHAMA (TAIC2022) kutoka kwa Mwanafunzi wa Taasisi ya Karume Abdi Salim Mohd aliyetokea mshindi  wa kwanza katika kipengele  cha Elimu,  kulia ni Mkuu wa wasimamizi wa Project za Wanafunzi wa Taasisi ya Karume Yussuf Ali Said, hafla iliofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrissa Muslim Hija Mbweni Zanzibar.

Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume Zanzibar (KIST), Dkt. Mahmoud Abdulwahab Alawi akiwa katika Picha ya pamoja na Washindi wa Project mbali mbali kutoka Taasisi ya Karume pamoja na Wakuu wa Idara ya Taasisi hiyo katika  Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrissa Muslim Hija Mbweni Zanzibar.

Picha na Maryam Kidiko – KIST.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.