Habari za Punde

Makamu wa Rais aongoza zoezi la upandaji miti Jan 12

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipanda mti aina ya Mdodoma kandokando ya barabara ya Dodoma – Morogoro eneo la Ihumwa Jijini Dodoma wakati akiongoza zoezi la upandaji miti kusheherekea Maadhimisho ya Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar leo tarehe 12 Januari 2022

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akishuhudia baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi na vyuo vilivyopo mkoani Dodoma wakipanda mti aina kandokando ya barabara ya Dodoma – Morogoro eneo la Ihumwa Jijini Dodoma wakati alipoongoza zoezi la upandaji miti kusheherekea Maadhimisho ya Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar leo tarehe 12 Januari 2022.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule za msingi Ihumwa  mara baada ya kumaliza zozezi la upandaji miti kandokando ya barabara ya Dodoma – Morogoro eneo la Ihumwa Jijini Dodoma wakati alipoongoza zoezi la upandaji miti hiyo kusheherekea Maadhimisho ya Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar leo tarehe 12 Januari 2022

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipanda mti aina ya Msabuni katika shule ya msingi Msalato Jijini Dodoma wakati akiongoza zoezi la upandaji miti kusheherekea Maadhimisho ya Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar leo tarehe 12 Januari 2022.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na Viongozi, Wananchi pamoja na Wanafunzi wa Shule za Msingi, Sekondari na Vyuo mara baada ya zoezi la upandaji miti lililofanyika katika eneo la Ihumwa na Msalato  Jijini Dodoma wakati wa Maadhimisho ya Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar leo tarehe 12 Januari 2022.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.