Aliyekuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akimkabidhi Vitendea Kazi na Ofisi Katibu Mpya wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Edward Mjema, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makau ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lumumba Jijini Dar es Salaam Jana Tarehe 21 Januari, 2023.(Picha zote na Fahadi Siraji wa CCM)
Aliyekuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akizungumza baada ya kukabidhi Ofisi kwa Katibu Mpya wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Edward Mjema, , hafla hiyo ya makabidhiano iliyofanyika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam
Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 pamoja na Taarifa ya Utendaji
Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka
2022/2023, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment