Aliyekuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akimkabidhi Vitendea Kazi na Ofisi Katibu Mpya wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Edward Mjema, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makau ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lumumba Jijini Dar es Salaam Jana Tarehe 21 Januari, 2023.(Picha zote na Fahadi Siraji wa CCM)
Aliyekuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akizungumza baada ya kukabidhi Ofisi kwa Katibu Mpya wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Edward Mjema, , hafla hiyo ya makabidhiano iliyofanyika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment