Aliyekuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akimkabidhi Vitendea Kazi na Ofisi Katibu Mpya wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Edward Mjema, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makau ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lumumba Jijini Dar es Salaam Jana Tarehe 21 Januari, 2023.(Picha zote na Fahadi Siraji wa CCM)
Aliyekuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka akizungumza baada ya kukabidhi Ofisi kwa Katibu Mpya wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Edward Mjema, , hafla hiyo ya makabidhiano iliyofanyika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam
BASI LA KINGS MASAI TOURS LAKAMATWA KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
TANZANIA NA MSUMBUJI, MMILIKI AHOJIWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogamu
9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari mat...
5 hours ago




0 Comments