Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango kuashoroa kuzindua Mradi wa Kijana Nahodha inaofadhiliwa na USAID ya Marekani, uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya mpira Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja jana 22-2-2023.
TANZANIA, EU NA UNDP KUFANIKISHA UZINDUZI WA MAABARA TANO ZA UPIMAJI UBORA
NA UFANISI WA VIFAA VYA UMEME
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
TANZANIA kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa
(UNDP) na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) wanataraji...
31 minutes ago
Nimtuma maombi ya kijana nahodha lakini sijapata majibu Hadi leo
ReplyDelete