Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango kuashoroa kuzindua Mradi wa Kijana Nahodha inaofadhiliwa na USAID ya Marekani, uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya mpira Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja jana 22-2-2023.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
Nimtuma maombi ya kijana nahodha lakini sijapata majibu Hadi leo
ReplyDelete