Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango kuashoroa kuzindua Mradi wa Kijana Nahodha inaofadhiliwa na USAID ya Marekani, uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya mpira Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja jana 22-2-2023.
NORWAY YAIHAKIKISHIA TANZANIA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA KILIMO
-
Serikali ya Norway imeihakikishia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ushirikiano katika sekta za kilimo, usalama wa chakula, nishati,
biashara na ...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment